Nina Imani pia watajadilia watumishi wa umma walio tia Nia kugombea ubunge mwaka 2020 na kukosa nafasi hizo nchi nzima. Watumishi hao,walikatwa mishahara ya miezi mitatu,walikatwa pesheni zao, walikichagia chama, na wanazo sifa za kukitumikia chama, hivyo kwenye teuzi za MaDAS na maDED wakumbukwe. Wapo wengi nchi nzima. Na kila Jimbo na wengi wao ni akina mama walio onyesha Nia ya kuweza kudhubutu .