Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Samia Suluhu Hassan ataongoza Kikao cha Kamati kuu CCM kesho Jumanne Tarehe 22/06/2022

📍Dodoma

KAMATI Kuu ya Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), itakutana kesho Jumanne, tarehe 22 Juni 2021, jijini Dodoma Chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan.


Nina Imani pia watajadilia watumishi wa umma walio tia Nia kugombea ubunge mwaka 2020 na kukosa nafasi hizo nchi nzima. Watumishi hao,walikatwa mishahara ya miezi mitatu,walikatwa pesheni zao, walikichagia chama, na wanazo sifa za kukitumikia chama, hivyo kwenye teuzi za MaDAS na maDED wakumbukwe. Wapo wengi nchi nzima. Na kila Jimbo na wengi wao ni akina mama walio onyesha Nia ya kuweza kudhubutu .
 
Nina Imani pia watajadilia watumishi wa umma walio tia Nia kugombea ubunge mwaka 2020 na kukosa nafasi hizo nchi nzima. Watumishi hao,walikatwa mishahara ya miezi mitatu,walikatwa pesheni zao, walikichagia chama, na wanazo sifa za kukitumikia chama, hivyo kwenye teuzi za MaDAS na maDED wakumbukwe. Wapo wengi nchi nzima. Na kila Jimbo na wengi wao ni akina mama walio onyesha Nia ya kuweza kudhubutu .
Kwanza hao kurudishwa kwenye utumishi ilikuwa huruma, walipaswa kustaafishwa mazima
 
Raisi Samia alitumie Rungu alilopewa ili kuwatokomeza Mataga wote ambao bado wako kwenye System.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom