Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,921
- 3,048
Jibu hoja TAGA wewe.😀 😀 Umekalia ushabiki tu, kule kwenye saccos yenu hamna chochote cha maana. Shame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja TAGA wewe.😀 😀 Umekalia ushabiki tu, kule kwenye saccos yenu hamna chochote cha maana. Shame
Chama kina jinsia wee TAGA?.Bavicha watakuwa live kufuatilia mkutano wa chama dume
Nina Imani pia watajadilia watumishi wa umma walio tia Nia kugombea ubunge mwaka 2020 na kukosa nafasi hizo nchi nzima. Watumishi hao,walikatwa mishahara ya miezi mitatu,walikatwa pesheni zao, walikichagia chama, na wanazo sifa za kukitumikia chama, hivyo kwenye teuzi za MaDAS na maDED wakumbukwe. Wapo wengi nchi nzima. Na kila Jimbo na wengi wao ni akina mama walio onyesha Nia ya kuweza kudhubutu .📍Dodoma
KAMATI Kuu ya Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), itakutana kesho Jumanne, tarehe 22 Juni 2021, jijini Dodoma Chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwanza hao kurudishwa kwenye utumishi ilikuwa huruma, walipaswa kustaafishwa mazimaNina Imani pia watajadilia watumishi wa umma walio tia Nia kugombea ubunge mwaka 2020 na kukosa nafasi hizo nchi nzima. Watumishi hao,walikatwa mishahara ya miezi mitatu,walikatwa pesheni zao, walikichagia chama, na wanazo sifa za kukitumikia chama, hivyo kwenye teuzi za MaDAS na maDED wakumbukwe. Wapo wengi nchi nzima. Na kila Jimbo na wengi wao ni akina mama walio onyesha Nia ya kuweza kudhubutu .
Hakuna la maana anaenda kuongeaProject za walionunuliwa kupewa UDC imekamilika anaenda kuwapa mrejesho!
Haya bwana ila mjue tunataka katiba ya warioba by any means.
Mama sasa atawakumbukaKwanza hao kurudishwa kwenye utumishi ilikuwa huruma, walipaswa kustaafishwa mazima
Kwa hiyo wapinzani hawapo kwasasa?Kwa mtindo huu wa kuijadili Sisiemu day in and day out, huku mkisahau kujijenga kichama, basi Sisiemu imefanikiwa sana kuwabomoa na kuwapoteza kwenye ramani hadi mmepoteana. Aliyesema hadi 2020 hamtakuwepo, aliona mbali sana.
Labda mboweKwa hiyo wapinzani hawapo kwasasa?