Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote

Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,269
Reaction score
13,895
Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote. Mfano inawezekana haija ambiwa kwamba CCM wanapata data za NIDA kinyume cha sheria.

Tekateka imeundwa na wateule wake. Kuna wateulewake wanaenda kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa mgongo wake.

Kwasababu ya upole upole na kupuuza mambo Rais Samia sasa ni kama pambo tu CCM ndiyo ukweli .

Polepole anasema vitu ambavyo hata yeye alikuwa hafahamu
 
Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote. Mfano inawezekana haija ambiwa kwamba CCM wanapata data za NIDA kinyume cha sheria.

Tekateka imeundwa na wateule wake. Kuna wateulewake wanaenda kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa mgongo wake.

Kwasababu ya upole upole na kupuuza mambo Rais Samia sasa ni kama pambo tu CCM ndiyo ukweli .

Polepole anasema vitu ambavyo hata yeye alikuwa hafahamu
Huu ni uhujumu uchumi
 
Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote. Mfano inawezekana haija ambiwa kwamba CCM wanapata data za NIDA kinyume cha sheria.

Tekateka imeundwa na wateule wake. Kuna wateulewake wanaenda kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa mgongo wake.

Kwasababu ya upole upole na kupuuza mambo Rais Samia sasa ni kama pambo tu CCM ndiyo ukweli .

Polepole anasema vitu ambavyo hata yeye alikuwa hafahamu
Unajiburudisha wewe,kwa fikra za hovyo
 
Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote. Mfano inawezekana haija ambiwa kwamba CCM wanapata data za NIDA kinyume cha sheria.

Tekateka imeundwa na wateule wake. Kuna wateulewake wanaenda kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa mgongo wake.

Kwasababu ya upole upole na kupuuza mambo Rais Samia sasa ni kama pambo tu CCM ndiyo ukweli .

Polepole anasema vitu ambavyo hata yeye alikuwa hafahamu
Huyo anajua kumbuka kipindi kile alisema hata mkipiga kura upande mwingine ccm itashinda nadhani alikuwa anamaniasha mfumo huu wa nida
 
Acheni dharau ndugu zanguni,siyo kilakitu cha kuandika au kusema,yule ni mke,mama,bibi kwa baadhi ya watu na ni Rais wa nchi.Yeye kufanya kilakitu itakua haina maana ya kusema URAIS ni TAASISI.Muhimu watendaji wake wafanye kazi kulingana na matakwa ya wananchi ambao kwa namna moja au nyingine tumewapa dhamana na kitendo cha wao kutomsaidia Rais,inaweza kutafsiriwa ni HUJUMA.Tusifike huko,tuwashauri kadri ya uwezo wetu,wasipomsaidia Rais vema,wajue wanashawishi baadhi ya watu wanaotumia uhuru wa kuongea,kuweka bayana yale wanayoona wakiyasema ni stahki kwa waliopo madarakani,akiwemo Rais.
CCM na serikali mliyoiunda SKILIZENI wananchi.
 
Kumbe waliingia kwa kura feki 2015 ,Yeye na Jiwe wakashiriki kuwafukuza wafanyakazi wenye vyeti feki wengine walikua wanakaribia kustaafu
Shame !!
 
Acheni dharau ndugu zanguni,siyo kilakitu cha kuandika au kusema,yule ni mke,mama,bibi kwa baadhi ya watu na ni Rais wa nchi.Yeye kufanya kilakitu itakua haina maana ya kusema URAIS ni TAASISI.Muhimu watendaji wake wafanye kazi kulingana na matakwa ya wananchi ambao kwa namna moja au nyingine tumewapa dhamana na kitendo cha wao kutomsaidia Rais,inaweza kutafsiriwa ni HUJUMA.Tusifike huko,tuwashauri kadri ya uwezo wetu,wasipomsaidia Rais vema,wajue wanashawishi baadhi ya watu wanaotumia uhuru wa kuongea,kuweka bayana yale wanayoona wakiyasema ni stahki kwa waliopo madarakani,akiwemo Rais.
CCM na serikali mliyoiunda SKILIZENI wananchi.

Wana CCM wengine kama polepole, Gwajima, viongozi wa dini na Watanzania wa kawaida wanakubaliana na. Mimi kwamba Mama kwa sasa ni kama pambo . Wanamitandao, usalama wa taifa umemzidi kwasasa. Wateule wake Inabidi watekwe , afunge au kuuwa vijana wanao mpinga. No reforms no election. Wewe moelekee heshima. Heshima tunatoa kwa wanao jiheshimu
mama yangu hajawahi kuteka au kuuwa mtu au kufunga watu bila hatia
 
Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote. Mfano inawezekana haija ambiwa kwamba CCM wanapata data za NIDA kinyume cha sheria.

Tekateka imeundwa na wateule wake. Kuna wateulewake wanaenda kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa mgongo wake.

Kwasababu ya upole upole na kupuuza mambo Rais Samia sasa ni kama pambo tu CCM ndiyo ukweli .

Polepole anasema vitu ambavyo hata yeye alikuwa hafahamu
Acha kumsafisa ccm yote ni uvundo unaolitesa taifa
 
Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote. Mfano inawezekana haija ambiwa kwamba CCM wanapata data za NIDA kinyume cha sheria.

Tekateka imeundwa na wateule wake. Kuna wateulewake wanaenda kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa mgongo wake.

Kwasababu ya upole upole na kupuuza mambo Rais Samia sasa ni kama pambo tu CCM ndiyo ukweli .

Polepole anasema vitu ambavyo hata yeye alikuwa hafahamu

KUu huo mchezo unajulikana vyema huko CCM. Hakuna aliye kimya kwenye echelon hajui. Ndiyo maana kina TAL wako jela na kauli mbiu za CCM kutawala miaka 100, magoli ya mkono, na sisi polich tumo! nk hazikupata kukemewa.

Huyu alipo amwage oil kk Hawa wa server tuhangaike nao squarely!

IMG_20240428_070927.jpg


Wako madarakani illegally.

Wako madarakani Kwa coup. Kama vile haitoshi:

Kuingilia mifumo ya uchaguzi ni Uhaini. Lissu anashtakiwa kwa niaba yetu kwa kufanya Uhaini na tunaopaswa kuwashitaki kwa Uhaini!

Hayupo msafi Wala mwenye excuse kwenye Hilo genge vinginevyo angeridhia ushauri wa Polepole akamwaga oil!
 
Wana CCM wengine kama polepole, Gwajima, viongozi wa dini na Watanzania wa kawaida wanakubaliana na. Mimi kwamba Mama kwa sasa ni kama pambo . Wanamitandao, usalama wa taifa umemzidi kwasasa. Wateule wake Inabidi watekwe , afunge au kuuwa vijana wanao mpinga. No reforms no election. Wewe moelekee heshima. Heshima tunatoa kwa wanao jiheshimu
mama yangu hajawahi kuteka au kuuwa mtu au kufunga watu bila hatia
Unajua Mkuu, ukiwasikiliza Watanzania unaona hawajui wanataka nini.. Rais akijua na kufanya kila kitu inakuwa ni one man show ambayo ni karibu sana na udikteta.. (hiki ndio kilifanya wapinzani wengi wamlaumu sana JPM). Dhana ya utawala bora sio kumuona mtu mmoja pekee ndiye anajua kila kitu, ndiye alfa na omega na ndiye yuko kila sehemu.. hii ndio inawapa shida sana wafuasi wa JPM kama kina polepole, wanataka Rais aliyeshika hatamu, Rais bulldozer nk nk... mimi ninaamini kwenye collective responsibility... tumuache Samia naye afanye kwa vile anavyoona labda atafugundisha pia dhana hii ambayo wabongo hatuna...
 
Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote. Mfano inawezekana haija ambiwa kwamba CCM wanapata data za NIDA kinyume cha sheria.

Tekateka imeundwa na wateule wake. Kuna wateulewake wanaenda kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa mgongo wake.

Kwasababu ya upole upole na kupuuza mambo Rais Samia sasa ni kama pambo tu CCM ndiyo ukweli .

Polepole anasema vitu ambavyo hata yeye alikuwa hafahamu
Usimtetee; huyu maza ni jambazi🚮🚮🚮🚮
 
Mwenyekiti wa CCM ni kama pambo tu haelewi yote. Mfano inawezekana haija ambiwa kwamba CCM wanapata data za NIDA kinyume cha sheria.

Tekateka imeundwa na wateule wake. Kuna wateulewake wanaenda kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa mgongo wake.

Kwasababu ya upole upole na kupuuza mambo Rais Samia sasa ni kama pambo tu CCM ndiyo ukweli .

Polepole anasema vitu ambavyo hata yeye alikuwa hafahamu
Sawa, we tumia madhaifu yake kuiingiza chadema Yako madarakani. Kwa maneno mengine, tumia muda wako kuongelea mazuri ya mwenyekiti wako anayeelewa vizuri........mwache Samia aendelee na yake.

Hivi we unajua kuwa Binti Yako anatolewa bikra saa hizi?!!! Kuongoza si ni kujua Kila kitu ee?!!!
 
Back
Top Bottom