Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Mwenyekiti wa tawi la ccm CHUO CHA BIASHARA- CBE DSM Ndg MISSO ameshindwa nafasi ya urais aliyokuwa inawaniwa na kijana mpambanaji Ndg KIDELA. Wiki nzima iliyokuwa imejaa mbwembwe pale chuoni iliitiimishwa jana kwa upigaji wakula.Na kijana wa CDM kuibuka mshindi.