meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Najiuliza ni nini kilichomfanya mwenyekiti huyu kusubiri mpaka sasa baada ya EL kukatwa?
Najiuliza ni nini kilichomfanya mwenyekiti huyu kusubiri mpaka sasa baada ya EL kukatwa?
Ahame kwa sababu gani? kuhama ni demokrasia ya mtu si shinikizo kutoka kwa yeyote.
Nawashangaa watu wengine Lowasa ambaye kakatwa jina hajahama watu wengine mashabiki tu ndio wanahama na kushinikiza wengine wahame.Wao wana uchungu kuliko mwenyewe aliyekatwa?
Hao waliohama yalikuwa mapandikizi ya CHADEMA ndani ya CCM.Ukitaka kujua panya shimo lake liko wapi mkimbize au mtie mishe mishe atarudi kwenye shimo lake mbio alikotokea.Hao waliohama Wanarudi kwenye mashimo yao.
Kwani mnadhani atawaumiza wapi zaidi akiwa ndani au nje?Ahame kwa sababu gani? kuhama ni demokrasia ya mtu si shinikizo kutoka kwa yeyote.Nawashangaa watu wengine Lowasa ambaye kakatwa jina hajahama watu wengine mashabiki tu ndio wanahama na kushinikiza wengine wahame.Wao wana uchungu kuliko mwenyewe aliyekatwa?Hao waliohama yalikuwa mapandikizi ya CHADEMA ndani ya CCM.Ukitaka kujua panya shimo lake liko wapi mkimbize au mtie mishe mishe atarudi kwenye shimo lake mbio alikotokea.Hao waliohama Wanarudi kwenye mashimo yao.
najiuliza ni nini kilichomfanya mwenyekiti huyu kusubiri mpaka sasa baada ya el kukatwa?
karibu ukawa maana mtakuwa mmesamehewa dhambi zenu zotee
lowassa mwenyewe anasubiri muda ufike atangaze rasmi.sasa hivi yupo monduli anachochea kuni tu.
kwani mnadhani atawaumiza wapi zaidi akiwa ndani au nje?
Najiuliza ni nini kilichomfanya mwenyekiti huyu kusubiri mpaka sasa baada ya EL kukatwa?
Haha...unachekesha kweli wewe gamba...unashangaaa tukitumia nyoka aisye na meno kummeza mwenye meno?Utashangaa sana kusikia magugu yanatumika kuua magugu mengine.kinachonifurahisha ni kuona wafasi wa cdm wanakula matapishi yao ya mwembeyanga,siasa na wanasiasa wa tz ni mavuvuzera wa siasa maji taka,
Haha..haaaaa.Lowassa mwenyewe anasubiri muda ufike atangaze rasmi.sasa hivi yupo Monduli anachochea kuni tu.
Haha...unachekesha kweli wewe gamba...unashangaaa tukitumia nyoka aisye na meno kummeza mwenye meno?Utashangaa sana kusikia magugu yanatumika kuua magugu mengine.
mwendelezo wa siasa zenu za ukabila na ukanda,nendeni wote kwenye saccoss ya kanda yenu,maana mpango wenu tayari umeishakamilika sisi tunawaangalia tu,