Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, John Pambalu malizana na mawakala wako huko Mwanza hasa hasa wale wa kule Buhongwa

Uchaguzi umekwisha na matokeo yaneshatoka (yawe halali au sio hilo sio dhumuni la post hii).

Lakini kuna maeneo bado kuna manung'uniko makubwa, na hapa ntazungunzia kwa sehemu nilisikia na kuona. Siku moja kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi nilikuwa Mwanza.

Na nisewe wazi nilijumuika na wana mwanza kwenye kushauriana kupata viongozi bora. Upepo wa John Pambalu ambaye alikuwa anagombea jimbo la nyamagana haukuwa mbaya sana, ila ndio kama tunavyojua mambo ya uchaguzi yalivyo.

Lakini kubwa zaidi lililonisikitisha ni hili la mawakala kutokupata pesa zao baada ya uchaguzi hapa nazungumzia kwa wale ambao nina ushahidi nao, huko kwingine sijui.

John Pambalu nakuomba upokee simu za hawa mawakala na umalizane nao, uwalipe pesa zao maisha yaendelee. Hili jambo linataka kukutia doa, kwa kuwa wapo waliopanga kwenda kulalamika kwa waandishi wa habari.

Lakini pia unaweza puuzia hili jambo na kukanusha na watu wa mitandaoni wakakuelewa, ila wale vijana utawaumiza sana mioyoni mwao kwa kuwa ukweli unaujua.

Ninakuomba sana kwa unyenyekevu mkubwa watafute umalizane nao, najua kwenye kampeni umetumia pesa nyingi lakini jitahidi kuongea nao na kumalizana nao kwa kuwa wale wana ndugu, jamaa na marafiki na wakisikia habari hizi unaweza kupoteza credibility uliyonayo.

Kwa nini nimekuja humu sababu hata simu zao hutaki kupokea na wakipiga kwa katibu wanaishia kuzungushwa tu wanaambiwa warudi kwako, leo ni siku ya 6 na bado muafaka wa pesa zao haujapatikana.

Nawasilisha
Pole zao kwani hawakujua kuwa Chadema ni waongo waongo ndiyo maana Kawe Mawakala waligoma kuingia vituoni bila kupewa advance matokeo yake Malalamiko FC wakaanza kusema eti wamezuiwa kuingia vituoni wakati kumbe walikuwa hawajalipwa posho zao na Mdee.
 
Napokuona mnafiki ni pale unaposema upepo wa Pambalu "haukuwa mbaya sana" unajaribu kumshusha aonekane alishindwa kihalali, wakati ukweli km uchaguzi ungekuwa huru na haki Pambalu angeshinda kwa kura nyingi sana.

Halafu unakuja na malalamiko feki hapa kumchafua kwanini usimtafute huko jimboni au hamjui anapoishi?! wacha uchawi.
Ndiyo tatizo lenu wanasaccos wenzako wanadai haki zao wewe unaleta utopolo.
 
Hawa sio ndio wale mawakala walioahidiwa malipo yao yatakua teuzi
Na wao wakaamini kabisa wangekuja kuteuliwa ukurugenzi, ukuu wa wilaya na mikoa🤣🤣🤣🤣
Ila chadema Mungu anawaona na ndio maana wakapata malipo yao tarehe 28
Hawa jamaa ni matapeli Sana,wapo kwaajili ya kujinufaisha wakati huohuo wakijaribu kujinasibisha kwa wananchi kama watetea haki. KIKUNDI kama hiki hakipaswi kuaminika kabisa.
 
Uchaguzi umekwisha na matokeo yaneshatoka (yawe halali au sio hilo sio dhumuni la post hii).

Lakini kuna maeneo bado kuna manung'uniko makubwa, na hapa ntazungunzia kwa sehemu nilisikia na kuona. Siku moja kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi nilikuwa Mwanza.

Na nisewe wazi nilijumuika na wana mwanza kwenye kushauriana kupata viongozi bora. Upepo wa John Pambalu ambaye alikuwa anagombea jimbo la nyamagana haukuwa mbaya sana, ila ndio kama tunavyojua mambo ya uchaguzi yalivyo.

Lakini kubwa zaidi lililonisikitisha ni hili la mawakala kutokupata pesa zao baada ya uchaguzi hapa nazungumzia kwa wale ambao nina ushahidi nao, huko kwingine sijui.

John Pambalu nakuomba upokee simu za hawa mawakala na umalizane nao, uwalipe pesa zao maisha yaendelee. Hili jambo linataka kukutia doa, kwa kuwa wapo waliopanga kwenda kulalamika kwa waandishi wa habari.

Lakini pia unaweza puuzia hili jambo na kukanusha na watu wa mitandaoni wakakuelewa, ila wale vijana utawaumiza sana mioyoni mwao kwa kuwa ukweli unaujua.

Ninakuomba sana kwa unyenyekevu mkubwa watafute umalizane nao, najua kwenye kampeni umetumia pesa nyingi lakini jitahidi kuongea nao na kumalizana nao kwa kuwa wale wana ndugu, jamaa na marafiki na wakisikia habari hizi unaweza kupoteza credibility uliyonayo.

Kwa nini nimekuja humu sababu hata simu zao hutaki kupokea na wakipiga kwa katibu wanaishia kuzungushwa tu wanaambiwa warudi kwako, leo ni siku ya 6 na bado muafaka wa pesa zao haujapatikana.

Nawasilisha
Vipi haya malalamiko hujayapeleka kwa Beberu Robert Amsterdam? Kama hujafanya hivyo fanya hivyo mkuu Amsterdam ataandika barua ya malalamiko kwenda UN na Jumuia za Kimataifa kuwa huu uchaguzi haukuwa huru na haki!!! Haiwezekani Mawakala wa Saccos ya Chadema wasilipwe posho zao halafu uchaguzi uwe huru na haki!!
 
Hawa jamaa ni matapeli Sana,wapo kwaajili ya kujinufaisha wakati huohuo wakijaribu kujinasibisha kwa wananchi kama watetea haki. KIKUNDI kama hiki hakipaswi kuaminika kabisa.

Wao wamewaibia mawakala wao kula, halafu wanalalamika wameibiwa kura
😂😂😂😂😂
 
Vipi haya malalamiko hujayapeleka kwa Beberu Robert Amsterdam? Kama hujafanya hivyo fanya hivyo mkuu Amsterdam ataandika barua ya malalamiko kwenda UN na Jumuia za Kimataifa kuwa huu uchaguzi haukuwa huru na haki!!! Haiwezekani Mawakala wa Saccos ya Chadema wasilipwe posho zao halafu uchaguzi uwe huru na haki!!

Hivi kweli hujamlipa wakala halafu unalalamika eti umeibiwa kura🤔🤔🤔🤔🤔
Ukistaajabu ya Tundu utayaona ya mawakala
 
Nikifikiria kwa kina naona kama kuna sehemu chadema wamepoteza mwelekeo, labda mimi akili yangu imekua ndogo sana sichanganui vizuri.

Lakini ukiangalia vizuri chadema ya mwaka 2005 na ya leo 2020 ni vitu viwili tofauti, sijui miaka kumi mbele ninini kitatokea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunashukuru wana-Mwanza kwa kumkataa Pambalu! Bahati mbaya angeingia Bungeni tungepata hasara kubwa kama Taifa!

Mawakala na nyinyi jiongezeni muhamie CCM. Huku hakuna michezo ya utapeli.

Pambalu acha ujanja ujanja na utoe pesa za watu. Tutakomaa na wewe mpaka pesa utoe. Hakuna kucheka na kima hapa.
 
Maybe we should underpaid politicians and overpaid teachers, then they would be smarter people and less stupid laws...
emoji41.png
emoji41.png
 
Back
Top Bottom