McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Akiwa anazungumza kwenye kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV Mwenyekiti wa Asasi ya Wanafunzi ya Siasa UDSM Antony Severine alisema:
"Kama vyama vinaunganishwa na vijana kupitia ilani, ni dhahiri vijana ndio wanaoathirika na ilani za vyama hii imenikumba hata mimi, ambapo unaambiwa ili utoboe unahitajika uwe na chama fulani ama kadi ya chama fulani ili uwe karibu na mifumo"
"Kama vyama vinaunganishwa na vijana kupitia ilani, ni dhahiri vijana ndio wanaoathirika na ilani za vyama hii imenikumba hata mimi, ambapo unaambiwa ili utoboe unahitajika uwe na chama fulani ama kadi ya chama fulani ili uwe karibu na mifumo"