Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera ndugu Faris Buruhani amezindua rasmi kampeni za Udiwani katika kata ya Kashasha, jimbo la Muleba kusini na kuzungumza na wananchi wa kata hiyo kupitia mkutano wa hadhara
Katika mkutano huo Faris alionyesha masikitiko yake kwa baadhi ya wagombea Ubunge na Udiwani kupitia CCM kusema nimepita bila kupigwa na hivyo kuwataka wateule hao kufanya mikutano ya kampeni na kutafuta kura za kishindo za mgombea Urais Samia Suluhu Hassan, wabunge na Madiwani wote wa CCM
Soma pia
Katika mkutano huo Faris alionyesha masikitiko yake kwa baadhi ya wagombea Ubunge na Udiwani kupitia CCM kusema nimepita bila kupigwa na hivyo kuwataka wateule hao kufanya mikutano ya kampeni na kutafuta kura za kishindo za mgombea Urais Samia Suluhu Hassan, wabunge na Madiwani wote wa CCM
Soma pia
- Pre GE2025 - Mwenyekiti UVCCM Kagera: Siasa siyo mchezo wa jando na unyago
- GE2025 - Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, Buruhan amegoma kusaini matokeo ya kura za maoni Bukoba vijijini
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa UVCCM Kagera apongeza kauli mbiu mpya ya CCM "Kazi na Utu Tunasonga Mbele"
- Pre GE2025 - M/Kiti UVCCM Kagera: Simamieni maslahi ya vijana siyo kupiga makofi tu