GE2025 Mwenyekiti UVCCM Dodoma ajitosa kuwania ubunge Dodoma Mjini

GE2025 Mwenyekiti UVCCM Dodoma ajitosa kuwania ubunge Dodoma Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dodoma, Abdulhabib Mwanyemba, leo Jumamosi, Juni 28, 2025, amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini katika uchaguzi mkuu ujao.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo katika ofisi za CCM mjini Dodoma, Mwanyemba ametoa wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali zilizotangazwa na chama hicho, akisisitiza kuwa ni wakati wa vijana kushiriki kikamilifu katika uongozi na maamuzi ya kisiasa nchini.
 
Anatafuta fedha za rushwa aachie hiyo nafasi.

Huu mwaka wajumbe watapiga sana hela
 
CCM mwaka huu ndio watajua nini maana ya NO REFORM NO ELECTION.
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dodoma, Abdulhabib Mwanyemba, leo Jumamosi, Juni 28, 2025, amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini katika uchaguzi mkuu ujao.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo katika ofisi za CCM mjini Dodoma, Mwanyemba ametoa wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali zilizotangazwa na chama hicho, akisisitiza kuwa ni wakati wa vijana kushiriki kikamilifu katika uongozi na maamuzi ya kisiasa nchini.
Injinia G Mgube kupambana na J.Ndugai_Kongwa nae ni kijana mchapa Kazi,kuna baadhi ya Hotel za ghorofa Dodoma kazijenga kama Inoga!Ni kijana pia,waache wazee wapumzike,ila wabaki Kuwa washauri, Ahsante Ndugai kwa kuwa mihanyenye wa kwanza kuwa speaker na kuomba msamaha kwa kauli tata ya Nchi inakopakopa!
 
Back
Top Bottom