mwenyekiti wa chadema kata ya shati,wilayani iramba,bwa ezekiel makala -pamoja na katibu wake bwa.joseph kingu sambamba na wanachama wengine kutoka chama hicho cha chadema,bwa.ayoub gofrey kutoka kata ya makunde,julius kizanda kata ya mtekente na ally saleh kata ya kisila walikulakila kiapo cha utii mara baada ya kutangaza rasmia kuachia ngazi nafasi zao na kuhamia chama cha ccm,kwenye mkutano wa hadahara uliofanyika leo jioni kwenye stendi ya mabasi ya kiomboi,wilayani iramba mkoani singida.
Viongozi hao wa chadema walikiri wazi kwenye mkutano wa hadhara kuwa chama cha ccm,ndicho chama bora na kitaendelea kutokuwa na mpinzani siku hadi siku,kwa sababu kinaonesha nia ya dhati ya kuwa karibu na wananchi ikiwemo na kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao.
Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Shati,Wilayani Iramba,Bwa Ezekiel Makala -pamoja na Katibu wake Bwa.Joseph Kingu sambamba na wanachama wengine kutoka chama hicho cha CHADEMA,Bwa.Ayoub Gofrey kutoka kata ya Makunde,Julius Kizanda kata ya Mtekente na Ally Saleh kata ya Kisila walikulakila kiapo cha utii mara baada ya kutangaza rasmia kuachia ngazi nafasi zao na kuhamia chama cha CCM,kwenye mkutano wa hadahara uliofanyika leo jioni kwenye stendi ya mabasi ya Kiomboi,wilayani Iramba mkoani Singida.
Viongozi hao wa CHADEMA walikiri wazi kwenye mkutano wa hadhara kuwa chama cha CCM,ndicho chama bora na kitaendelea kutokuwa na mpinzani siku hadi siku,kwa sababu kinaonesha nia ya dhati ya kuwa karibu na wananchi ikiwemo na kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao.
Hakuna kata inayoitwa shati wala makunde iramba. Tena hakuna kata inayoitwa kisila.Jifunze vema kutunga uongo mwehu we.
Mkuu Rich Pol ngoja waje vijana wa Slaa utasikia wana wakana. Chadema himekufa wamebaki ukawa.
Mwenyekiti wa CHADEMA kata
ya Shati,Wilayani Iramba,Bwa Ezekiel Makala -pamoja na Katibu wake
Bwa.Joseph Kingu sambamba na wanachama wengine kutoka chama hicho cha
CHADEMA,Bwa.Ayoub Gofrey kutoka kata ya Makunde,Julius Kizanda kata ya
Mtekente na Ally Saleh kata ya Kisila walikulakila kiapo cha utii mara
baada ya kutangaza rasmia kuachia ngazi nafasi zao na kuhamia chama cha
CCM,kwenye mkutano wa hadahara uliofanyika leo jioni kwenye stendi ya
mabasi ya Kiomboi,wilayani Iramba mkoani Singida.
Viongozi hao wa CHADEMA walikiri wazi kwenye mkutano wa hadhara kuwa
chama cha CCM,ndicho chama bora na kitaendelea kutokuwa na mpinzani siku
hadi siku,kwa sababu kinaonesha nia ya dhati ya kuwa karibu na wananchi
ikiwemo na kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao.