Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,865
- 5,671
Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Shati,Wilayani Iramba,Bwa Ezekiel Makala -pamoja na Katibu wake Bwa.Joseph Kingu sambamba na wanachama wengine kutoka chama hicho cha CHADEMA,Bwa.Ayoub Gofrey kutoka kata ya Makunde,Julius Kizanda kata ya Mtekente na Ally Saleh kata ya Kisila walikulakila kiapo cha utii mara baada ya kutangaza rasmia kuachia ngazi nafasi zao na kuhamia chama cha CCM,kwenye mkutano wa hadahara uliofanyika leo jioni kwenye stendi ya mabasi ya Kiomboi,wilayani Iramba mkoani Singida.
Viongozi hao wa CHADEMA walikiri wazi kwenye mkutano wa hadhara kuwa chama cha CCM,ndicho chama bora na kitaendelea kutokuwa na mpinzani siku hadi siku,kwa sababu kinaonesha nia ya dhati ya kuwa karibu na wananchi ikiwemo na kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao.
Viongozi hao wa CHADEMA walikiri wazi kwenye mkutano wa hadhara kuwa chama cha CCM,ndicho chama bora na kitaendelea kutokuwa na mpinzani siku hadi siku,kwa sababu kinaonesha nia ya dhati ya kuwa karibu na wananchi ikiwemo na kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao.