Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Fadhili Maganya akiwa katika Kipindi cha mahojiano cha Medani za Siasa akijibu swali la Mwandishi wa Habari Edwin Odemba ikimtaka atoe maoni yake kuhusiana na Hoja na kauli za aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima akidai kuwa Kanisa la Ufufuo na Uzima halikupaswa kufungwa kwani mwenye kosa ni yeye na si Kanisa
Fadhili Maganya alieleza kuwa Makanisa yanaanzishwa kwa mujibu wa sheria za nchi na mwenye Mamlaka ya kutoa kibali au kusajili ndiye mwenye Mamlaka kufungia kibali
Pia amesema kuwa hakuna anachokosoa Askofu Gwajima licha ya kutoa siku kumi kuwa Makanisa yake yasipofunguliwa nchi itatikisika hivyo jamii imeanza kumuona kama Mpuuzi fulani kwa kauli zake
Fadhili Maganya alieleza kuwa Makanisa yanaanzishwa kwa mujibu wa sheria za nchi na mwenye Mamlaka ya kutoa kibali au kusajili ndiye mwenye Mamlaka kufungia kibali
Pia amesema kuwa hakuna anachokosoa Askofu Gwajima licha ya kutoa siku kumi kuwa Makanisa yake yasipofunguliwa nchi itatikisika hivyo jamii imeanza kumuona kama Mpuuzi fulani kwa kauli zake