Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Wakuu naona udhalilishaji na kejeli dhidi ya Martha Karua unazidi kuendelea.
Kada mmoja wa CCM huko Mara ameomba wakati mwingine Martha Karua akienda kuomba kibali cha kuja Tanzania ubalozini basi apitishwe Sirari ili wampe mimba kwa kuwa Wakenya wameshindwa.
Hivi hii ndiyo mmeona njia ya ku deal na hili jambo?
Pia soma
www.jamiiforums.com
Kada mmoja wa CCM huko Mara ameomba wakati mwingine Martha Karua akienda kuomba kibali cha kuja Tanzania ubalozini basi apitishwe Sirari ili wampe mimba kwa kuwa Wakenya wameshindwa.
Hivi hii ndiyo mmeona njia ya ku deal na hili jambo?
Pia soma
PreGE2025 - Mbunge Msambatavangu: Mtu mkorogo umedunda, sijui alisahau kupaka poda anataka kuja kutuchonganisha
Watunga sheria wetu.