mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Mara baada ya Mh Agustino Mrema kuteuliwa wadhifa wa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole, alianza kazi kwa mbwembwe nyingi.
Kwa hamasa kubwa aliyokuwa nayo na wadhifa huo mara kwa mara alijikuta ana-overstep mandate yake. Lakini siku za hivi karibuni Mzee Mrema amekuwa kimya sana. Hatumsikii akifanya hiki wala kile.
Hatumuoni akitembelea magereza na mahabusu katika vituo vya polisi na kutoa matamko. Swali langu: nini kimempata huyu Mzee mpaka kupoa kiasi hiki? Au alitumbuliwa kimya kimya na wadhifa huo hanao tena?
Kwa namna alivyo mtu wa vituko, ni vigumu kuelewa kwa nini yuko kimya kama kweli wadhifa huo bado anao. Mwenye fununu atujuze
Kwa hamasa kubwa aliyokuwa nayo na wadhifa huo mara kwa mara alijikuta ana-overstep mandate yake. Lakini siku za hivi karibuni Mzee Mrema amekuwa kimya sana. Hatumsikii akifanya hiki wala kile.
Hatumuoni akitembelea magereza na mahabusu katika vituo vya polisi na kutoa matamko. Swali langu: nini kimempata huyu Mzee mpaka kupoa kiasi hiki? Au alitumbuliwa kimya kimya na wadhifa huo hanao tena?
Kwa namna alivyo mtu wa vituko, ni vigumu kuelewa kwa nini yuko kimya kama kweli wadhifa huo bado anao. Mwenye fununu atujuze