EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani, kimewasimamisha uongozi viongozi wake kadhaa wa Wilaya ya Bagamoyo, kutokana na madai ya kuuza kwa mwekezaji eneo linalosemekana kuwa ni mali ya chama hicho.
Waliosimamishwa uongozi ni mwenyekiti, katibu na katibu mwenezi wa chama hicho wilayani humo na habari zinasema uamuzi huo umefanywa na Kamati ya Utendaji ya CCM, Mkoa wa Pwani.
Hata hivyo baadhi ya wafuasi wa chama hicho wamelalamikia hatua hiyo waliyoielezea kuwa ni ya uonevu.
Chanzo: Mwananchi.
Waliosimamishwa uongozi ni mwenyekiti, katibu na katibu mwenezi wa chama hicho wilayani humo na habari zinasema uamuzi huo umefanywa na Kamati ya Utendaji ya CCM, Mkoa wa Pwani.
Hata hivyo baadhi ya wafuasi wa chama hicho wamelalamikia hatua hiyo waliyoielezea kuwa ni ya uonevu.
Chanzo: Mwananchi.