MAHONDA AGY
Member
- Aug 7, 2014
- 6
- 0
​
Habari za Mchana
ninaomba msaada kwa anaefahamu vizuri kuhusu toyota primio nwe model nataka kununua sema naogopa kukurupuka vitu muhimu ninavyopenda kujua ni
Ulaji wa Mafuta as ina 1790cc
Uzuri wa ndani na comfortability yake​
Ninaweza kwenda nayo mkoan bila shida Arusha
CIF ni USD 4000 je ni andae bei gan kulipai mpaka iwe barabarani mambo ya ushuru nakadhalika
naombeni msaada wenu jamani kama kuna lingine si vibaya kuliongeza mchana mwema ndugu zangu
ninaomba msaada kwa anaefahamu vizuri kuhusu toyota primio nwe model nataka kununua sema naogopa kukurupuka vitu muhimu ninavyopenda kujua ni
Ulaji wa Mafuta as ina 1790cc
Uzuri wa ndani na comfortability yake​
Ninaweza kwenda nayo mkoan bila shida Arusha
CIF ni USD 4000 je ni andae bei gan kulipai mpaka iwe barabarani mambo ya ushuru nakadhalika
naombeni msaada wenu jamani kama kuna lingine si vibaya kuliongeza mchana mwema ndugu zangu