Mwenye utaalam nalo wakuu

Mwenye utaalam nalo wakuu

Midozenj01

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2014
Posts
410
Reaction score
400
"Nimelazimishwa kukutana na mama watoto not by ndoa na ndugu zake eti bila hivo mtoto hatotembea.."
hivi kwa wajuzi kuna ukwel ndani yake..?? "yaani inafika stage mpaka wanani mind balaa" mwisho wa nukuu
tusaidiane kwenye hilo au ufafanuzi zaidi wakubwa...
 
Kukutana kimwili au kukutana kimazungumzo fafanua mkuu
 
Ongeza nyama kwenye uzi wako alafu na ndomu au nyama nyama??
 
Umelazimishwa?, kwa hiyo ulibakwa?, hebu tuanze na hapa kwanza
 
Kama ndizo taratibu zao nenda tu kakutane naye.
Hata kama huziamini ila nenda tu.
"Nimelazimishwa kukutana na mama watoto not by ndoa na ndugu zake eti bila hivo mtoto hatotembea.."
hivi kwa wajuzi kuna ukwel ndani yake..?? "yaani inafika stage mpaka wanani mind balaa" mwisho wa nukuu
tusaidiane kwenye hilo au ufafanuzi zaidi wakubwa...
 
Back
Top Bottom