T TRACEY INNO Member Joined Mar 14, 2014 Posts 31 Reaction score 7 Mar 26, 2014 #1 Jamani hawa wajapani mbona sasa sielewi? Walisema kabla ya tarehe 28/3 tutukuwa tumejua mchakato mzima. Mimi naona siku zinasonga, watu wanagonga usaili pale ni wa nini? Mbona kizungumkuti. Help...:loco:
Jamani hawa wajapani mbona sasa sielewi? Walisema kabla ya tarehe 28/3 tutukuwa tumejua mchakato mzima. Mimi naona siku zinasonga, watu wanagonga usaili pale ni wa nini? Mbona kizungumkuti. Help...:loco:
Nambukwa JF-Expert Member Joined Aug 5, 2009 Posts 243 Reaction score 146 Mar 26, 2014 #2 Me naona usubiri tu hiyo tarehe 28. Kama kimya usivunjike moyo.
GKM JF-Expert Member Joined Dec 5, 2012 Posts 738 Reaction score 332 Mar 26, 2014 #3 subiri trh 28, but ONLY SHORTLISTED candidates will be contacted!!!!!!!
chief bazoka Member Joined Jan 31, 2014 Posts 97 Reaction score 22 Mar 26, 2014 #4 Yaan watu wan pressure tulia utaitwa tu kuwa na subira
T TRACEY INNO Member Joined Mar 14, 2014 Posts 31 Reaction score 7 Mar 26, 2014 Thread starter #5 njaa kitaa wadau...............................