Mwenye ujuzi wa database administration

Mwenye ujuzi wa database administration

Dnmunisi

Member
Joined
Nov 11, 2020
Posts
18
Reaction score
16
Poleni na majukumu wakuu
Mimi nina na changamoto inanitatiza sana, ninasomea maswala ya information science, natamani sana kujua kuhusu database administration, ila pa kuanzia sijui na sijui ninatakiwa nisome nini na nini ili niweze kuwa database administrator
Mwenye ujuzi tafadhali anisaidie
 
Jifunze SQL language..
Structured Query Language (SQL) is a standardized programming language that is used to manage relational databases and perform various operations on the data in them.

 
Kuwa database administrator unahitajika ujue vitu vifuatavyo
1. Database design. Watu wengi wanakimbiliaga kujua query pasipo kuwa na msingi sahihi wa namna ya kudesign database. Soma vizuri namna ya kudesign database schema kwa kutumia E-R Diagram... ( Hakikisha umesoma vzuri namna kuestablish ..entity, relationship, events pamoja na cardinality degree)
2. Jifunze SQL vizuri...jua namna ya create database, tables, kuassign PK, Uk, na Fk...jifunze namna ya kuestablish uhusiano endapo ukiwa na table mbili au tatu na kuendelea....ukimaliza jifunze kufanya backups na namna ya kurestore database........anza kwa kutumia GUI ukimaster hamia kwa kutumia CMD.
GENERALLY DATABASE ADMINISTRATOR anatakiwa ajue kazi kubwa tatu....1. Concurrency control 2. Database security na 3. Backup and Restore.....
Itaendelea siku nyingine kwa deep details
 
Back
Top Bottom