Mwenye ufahamu na KK security

Mwenye ufahamu na KK security

tsaqwa

Member
Joined
May 11, 2015
Posts
50
Reaction score
5
Nahitimu chuo mwezi ujao huku nyanda za juu kusini, kutokana na ajira kuwa ngumu hapa bongo, nimefocus kujibana kwenye kampuni moja ya ulinzi ya KK security. Kwa mwenye ufahamu wa kampuni hiyo naomba anijuze.
 
Wakenya hao! Ngoja waje! Skia fanya utafiti wa soko la dagaa wa mwanza kwa manunuzi ya jumla tufanye kazi, achana na ajira utakufa maskini sana! Waambie ni dagaa waliokaushwa kwenye vichanja yaani hawana mchanga. Wakupe bei ya jumla kwa kilo na uwezo wao wa kununua dagaa kwa mwezi! Anza sasa!
 
Wakenya hao! Ngoja waje! Skia fanya utafiti wa soko la dagaa wa mwanza kwa manunuzi ya jumla tufanye kazi, achana na ajira utakufa maskini sana! Waambie ni dagaa waliokaushwa kwenye vichanja yaani hawana mchanga. Wakupe bei ya jumla kwa kilo na uwezo wao wa kununua dagaa kwa mwezi! Anza sasa!

Hilo ni wazo zuri lakini usiponde campuni yoyote.Kama kweli ni mbunifu basi bila shala amelisikia
 
Mkuu kama una uzoefu na kampuni hiyo npe detail zao mfn...... mshahara , vigezo vya kujiunga nk
 
Back
Top Bottom