Mwenye uelewa na Meteorology

Mwenye uelewa na Meteorology

Ya wdmi wanaiita dip in hydrology and meteorology bt ya kigoma inaitwa dip meteorology so cjui ipi yenye dili zain
Yenye dili zaidi ni hiyo ya Kigoma
Jamani msichanganye UDOM ipo METALLURGY

study of metals: the study of the structure and properties of metals, their extraction from the ground, and the procedures for refining, alloying, and making things from them
 
kama unataka kusoma diploma nenda chuo cha kigoma kama degree nenda UDSM, ndio iyo course ipo yani meteorology.kuhusu ajira zipo ila ufaulu vizuri tuu kwani kwa sasa walioanzisha iyo course apa UDSM wako mwaka wa mwisho kwa sasa na wanafuzi
ni wachache sana yani mwaka wa 1,2&3 hawafiki 100 kwa UDSM.so karibu sana mm mwenyewe nipo UDSM nasoma iyo iyo yan Bsc in meteorology.
 
Tofautisha alichouliz na unachojibu hyo ulichojibu ni meteorology but kauliza industrial metrology yaan hawa kwa majina tunawaita wataalam wa vipimo kazi zao nyingi ni kwenye mizani na viwandani !!
Metrology Vs Meteorology Think kabla ujareply!

Rudi nyuma pale alipo uliza mara ya kwanza utaelewa vizuri.UKIWA UNAJIANDAA KUKOSOA KITU HAKIKISHA UMEKIPITIA VIZURI
 
kama unataka kusoma diploma nenda chuo cha kigoma kama degree nenda UDSM, ndio iyo course ipo yani meteorology.kuhusu ajira zipo ila ufaulu vizuri tuu kwani kwa sasa walioanzisha iyo course apa UDSM wako mwaka wa mwisho kwa sasa na wanafuzi
ni wachache sana yani mwaka wa 1,2&3 hawafiki 100 kwa UDSM.so karibu sana mm mwenyewe nipo UDSM nasoma iyo iyo yan Bsc in meteorology.
Samahn sna kama nilikuwa nataka kuomba hiyoo course kwanza ya diploma lakin sasa kwa chuo cha kigoma kuna vitu vinanichnganya pia cz kuna hii diploma in meteorology and certificate in meteorological technician naomba ufafanuz kaka...
 
Samahn sna kaka nilikuwa nataka kuomba hiyoo course kwanza ya diploma lakin sasa kwa chuo cha kigoma kuna vitu vinanichnganya pia cz kuna hii diploma in meteorology and certificate in meteorological technician naomba ufafanuz kaka...
 
Ordinary diploma 1 yr, technical certificate 2yrs kwa national meteorological training centre- kigoma kutoka nacte, Bsc in meteorology 3yrs kwa UDSM
Naomba unifafanulie hiyoo technical certificate na hiyoo ordinary diploma! .. Samahn lakin nahitaj kujua..
 
kama unataka kusoma diploma nenda chuo cha kigoma kama degree nenda UDSM, ndio iyo course ipo yani meteorology.kuhusu ajira zipo ila ufaulu vizuri tuu kwani kwa sasa walioanzisha iyo course apa UDSM wako mwaka wa mwisho kwa sasa na wanafuzi
ni wachache sana yani mwaka wa 1,2&3 hawafiki 100 kwa UDSM.so karibu sana mm mwenyewe nipo UDSM nasoma iyo iyo yan Bsc in meteorology.
mkuu hivi mwenye bsc meteorology TMA anaanza na sh ngapi
 
Back
Top Bottom