toka lini mining ikahusiana na meteorology?hiyo ipo udsm na udom, inaitwa mineral processing and meteorology
Acha kudanganya hata UDSM ipoKama ni ajira ata usiwe na shaka maana waliomaliza almost wote wapo makazini na bado wanahitajika na kinatolewa na chuo kimoja tu nadhani mpaka sasa yaan CBE MAIN CAMPUS so kama unasomea ajira nenda kasome ila ukimaliza ukakuta soko lishajaa usije ukalalamika