Mwanafilosofia
Member
- Jun 14, 2014
- 73
- 33
Wana JF mwenye tetesi juu ya nafasi za kazi zilizotangazw na TRA vip majina yanatok lini
tumeanza kazi leo
Zidi kumuomba Mungu,yeye ndiye akisema kazi ni yako hata aje mtu gan hakuna anayeweza badilisha,endelea kuomba usikate tamaa,
tumeanza kazi leo