Mwenye taarifa zozote kuhusu mikopo HESLB

Mwenye taarifa zozote kuhusu mikopo HESLB

Billy philip

Member
Joined
Oct 24, 2019
Posts
15
Reaction score
8
Wadau tujuzane juu ya hawa Loan Board kuhusu wale appellant. Maana hatujui kama kuna batch nyingine tena au kama haipo. Maana watu bado tupo njiapanda.
 
Mkuu hawa watu hawaeleweki.Nimeenda ofisini kwao wanasema rufaa ndio zinafanyiwa kazi zikikamilika watatoa matokeo.Ila ukiwauliza matokeo wanatoa lini hata wenyewe hawajui ni siku gani but wanachijibu ni kuwa wakimaliza watatoa
 
Mkuu hawa watu hawaeleweki.Nimeenda ofisini kwao wanasema rufaa ndio zinafanyiwa kazi zikikamilika watatoa matokeo.Ila ukiwauliza matokeo wanatoa lini hata wenyewe hawajui ni siku gani but wanachijibu ni kuwa wakimaliza watatoa
mimi niliambiwa kuwa alhamic ndo wakurugenzi walishafanya ayoh machaguzi washachagua watoto wa ndugu zao sisi tusiokuwa na conection anajua mungu
 
[QUOTE="Mkandamiza Vishimo, post: 33636462, member: 5
Kwa hiyo hayo matokeo wanatoa lin mkuu?
 
mkuu kama usemavyo wewe awasemi ukweli kabisa japo kuna mtu mwenye kauruma pale bodi ndo akaniambia uwenda wiiiki hhii inategemea na badru atajiskiaje kama atafurai inawezekana akatoa
 
Daaah huu mwaka wa shetani.hasa kwa continuos ambao wengi hatukufanya appeal ishakula kwetu hii looooh
 
Daaah huu mwaka wa shetani.hasa kwa continuos ambao wengi hatukufanya appeal ishakula kwetu hii looooh
Hakuna haja ya continuing student ku appeal as long as uliomba mkopo mwaka huu toa shaka

batch yako itakuja mwezi huu wa 12 na kwa wale ambao walipata sup na kwa namna yeyote watapata majina yao na allocation yao itafuata badae!

Nakushauli toa wasi wasi kikubwa kuwa na imani na nchi yako wote mtapata tu mkopo sababu iyo ni pesa ya wa Tanzania

Hii nimechukulia uzoefu niliouona kipindi nasoma
 
mh mkuuu mambo yamebadilika sasa ni utawala wa machizi kichizi awajari hlo wanalojua wao ni kukuona unateseka na kupata tabu swala la matokeo chuo walishapeleka bodi toka mwezi wa tisa bhan ni roho kubwa zao tu
 
Back
Top Bottom