kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 753
Eti ukikanyagwa mguuni na kapuku mwenzio unafoka na kutokwa povu hadi unataka kupigana kisa tu wote hali zenu zinafanana.
Ila sasa ikitokea kakukanyaga mwenye pesa au boss wako "utasikia samahani boss mguu wako uko juu ya mguu wangu" huku ukionyesha unyenyekevu wa hali ya juu.
Aisee mwenye pesa kweli sio mwenzio...
Ila sasa ikitokea kakukanyaga mwenye pesa au boss wako "utasikia samahani boss mguu wako uko juu ya mguu wangu" huku ukionyesha unyenyekevu wa hali ya juu.
Aisee mwenye pesa kweli sio mwenzio...