Mwenye mtoto wake naomba anitafute

Mwenye mtoto wake naomba anitafute

Mr.biggie

New Member
Joined
Nov 1, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Habari ndugu zangu wapendwa,nadhan wote ni wazima wa afya.Ila kwa wale mliokuwa wagonywa,poleni mungu atawaponya.Kuna binti mmoja alikuwa anajulikana kwa jina la Joyce Mushi,ila kwa sasa ni marehemu hatupo nae tena.Huyo msichana aliishi sana jiji la Mwanza,na alibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume Kwa jina anaitwa Robert.Hivyo bas ningependa kusema kwa yeyote yule aliemjua huyo msichana,naomba anitafute kupitia namba yangu 0784151565
 
Inabidi muanze kwa kwenda alikokuwa anaishi. Mumejaribu hilo?
 
mbona jina la pili la mtoto hujataja?
unahusianaje na marehemu na mtoto?
ilikuwaje hamkukutana na huyo msichana hadi umauti unamkuta?
 
Mmmh. hii taarifa inamaswali mengi kweli.. Inamaana huyo bint alivyofariki nakuacha mtotot alifikaje kwako.. Na nimuda gani upo na huyo mtoto.. Na je ninani anayo taarifa ya ww kua na huyo mtoto..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom