Mwenye mtoto wake ajitokeze



huyo hata akikuambia ni bahati mbaya unamuelewa kabisaa kwa jitihada hizo...
 
Ingawa kama mzazi inaniuma, lakini sina budi kusema mtoto huwa hawezi kuzaa mtoto; kama amezaa mtoto basi huyo ni mkubwa na hakuna ubakaji hapo.

Hili neno mkuu.
Mkuu nimefuatilia nikagundua unakila sababu za kuitwa VERIFIED MEMBER. Kwanini usifanye hivyo?
Samahani kama nimekukwaza
 
Umri ni namba tu jamani,kwa kizazi cha sasa hakuna uhusiano wowote kati ya umri na umbo..hasa mabinti! Wale Ma'biologist wanisaidie! Ndio maana 'wanaliwa'...na huo ni mfano tu kati ya maajabu ya watoto wa kizazi hiki! Mungu atunusuru!
 

bukoba zaidi ya uijuavyo, binti akizaa mtoto hukimbiliwa kama mpira wa kona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…