mwenye maujuzi na gari aina ya crossroad

mwenye maujuzi na gari aina ya crossroad

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,673
Reaction score
3,740
Wadau navutiwa sana na gari aina ya Honda crossroad mwenye kuijua kiundani aniambie kabla sijafanya maamuzi ya kuiagizia
 
Hiyo apo
 

Attachments

  • IMG_20170708_141745_edit.png
    IMG_20170708_141745_edit.png
    85.2 KB · Views: 57
  • IMG_20170708_141723_edit.png
    IMG_20170708_141723_edit.png
    82.6 KB · Views: 66
Kama.ni jamii ya Honda achana nayo izi gari sumbufu sana japo hiyo siijui kuna CRV
 
Kama.ni jamii ya Honda achana nayo izi gari sumbufu sana japo hiyo siijui kuna CRV
kiwanadani wanajua kauli yako hii korofi, au we huna hela za kuoperate gari aina ya honda.
 
honda ni magari pekee yasioyo changia vimiminika na magari mengine ya toyota, itakupa kuweka vimiminika halisi genuine vya honda muda wote utakiwapo kufanya hivyo, na kwa sasa spea zote za honda hapa tz zipo kuna duka special la auto parts origino toka japan na US pale kariakoo, ni magari mazuri sana yenye starehe na murua safari ndefu. zingatia service tu basi
 
Linaitwaje mkuu hili duku tafadhali
honda ni magari pekee yasioyo changia vimiminika na magari mengine ya toyota, itakupa kuweka vimiminika halisi genuine vya honda muda wote utakiwapo kufanya hivyo, na kwa sasa spea zote za honda hapa tz zipo kuna duka special la auto parts origino toka japan na US pale kariakoo, ni magari mazuri sana yenye starehe na murua safari ndefu. zingatia service tu basi
 
Back
Top Bottom