Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,499
- 8,491
Cha msingi umeelewa, toa hayo maswaliAssistance?!
Daah....Rekebisha hiyo peper iwe paper. Na sio assistance ni assistant, ulikuwa na usingizi. Nasubiri wachangiaji hayo maswali sina
Peper?Assistance?!
Namba ya mtihani umepewa?Mimi kwenye profile wameandika listed hila kwenye list Yao jina alipo
Boss haya ndio ya Assistant Tax management officer? Au tusubiri mengine. Nayaona kama ya Bachelor hivi. Vipi kuhusu ya Diploma?Kazi kwenu...kusoma na kumuomba MunguView attachment 2443424
Weka na ya bachelor basiYa dip hayo ukisoma hyo doc vzur bhac oral inakuita
Yah si ndo interview namba?Namba ya mtihani umepewa?
Shukrani sana bossYa dip hayo ukisoma hyo doc vzur bhac oral inakuita
Yanatofautian kidog hapo....vitu ni vilevile ila ukipita na hayo yatakusaidiaWeka na ya bachelor basi