Mwenye kujua bei ya TANKS za maji

Mwenye kujua bei ya TANKS za maji

mwambunnyara

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
518
Reaction score
208
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu,nahitaji kujua bei za tanks za kutunzia maji na ni tank gani ni bora kati ya Kiboko na Polytanks!!!
 
Mi nilinunua juzi kiboko lita 3000 tsh 470,000/= lita 2000 tsh 270,000/= reference kama itakusaidia.
 
Back
Top Bottom