Mwenye connection

kadogo2

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
3,144
Reaction score
5,075
Natafuta kazi… ninapofanya kazi mkataba unaisha mwezi huu … ajira zimekuwa ngumu kila ukiomba una temwa

Nina elimu ngazi ya degree maendeleo ya jamii


Kama kuna mtu ana connection hata kuwa muhudumu wa tren SGR ama ukonda wa mabasi mimi niko tayari

Au kama kuna kazi yoyote halali nisaidiwe maisha magumu haswa binti kukaa bila ajira


Nawasilisha
 
Unaweza kufanya kazi Kijijini kama Kasulu?if yes njoo pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…