Mwenge wa Uhuru waingia Morogoro, miradi 44 kufunguliwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,778
145,708
Mwenge wa uhuru umeingia mkoani Morogoro na kupokelewa na RC Shigella akiwa ameambatana na watendaji wa mkoa.

Mwenge utakimbizwa katika wilaya zote za Morogoro na jumla ya miradi ya maendeleo 44 itazinduliwa.

Tahadhari zote za kupambana na Corona zinachukuliwa.

Chanzo: Channel ten!
 
CHADEMA hawawezi kushangilia kibatari cha uchawi.

CCM washirikina na wachawi wasio kifani ndio waabuduo Mwenge.

Mtaendelea kulala kwa huzuni kutokana na ibada zenu zilizoja laana
 

mwenge sehemu mhimu sana ktk kupumbaza akili za watu, ni moja kati ya matambiko pendwa ya ccm,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…