UmtwaAlumbwagwe
Member
- May 24, 2012
- 54
- 10
Mwenge wa uhuru ulipokuwa umekesha Mjini Mafinga Wilaya ya Mufindi mkoa wa Iringa siku ya Jumapili 20/05/2012 kuamkia jumatatu, siku ya jumatatu wanafunzi hawakwenda shule eti kwa sababu walimu wao walikesha na mwenge, hivyo shule zote za msingi za mjini Mafinga hawakwenda shule kwa agizo la viongozi wa HALMASHAURI ya Wilaya