zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Live kutoka Nyerere sq Dodoma,Haya matumizi mabaya ya fedha za watanzania na hk KIBATARI CHA UHURU.
Karibuni.
Karibuni.
Hao wagogo wanaoimba wa wapi?dah ful starehe wagogo bwana,kikundi cha wazee na watoto chini ya miaka kumi na tano hawa.
Wanasifia mpaka reli ya Tazara.
Hawa hamnazo kbs.
Hao wagogo wanaoimba wa wapi?