uje na hela ya registration 390,000/ ilikuwa 380 nafikiri wameongeza hyo 10. pia uje na hela ya chumba angalau miezi 3 endapo utakosa hostel, vyumba vinaanzia sh. 40,000/ msosi nje ya chuo kuanzia 1000/.
hakikisha unakuja na vyeti vyote orginal na copy zake academic na birth, masomo yanaanza rasmi tarehe 2nov hakikisha hadi tareh 30/10 umesajiliwa hii semister ukichelewa week tu ni shiida watu watakuwa wamesoma mbaya mwecau wanafata ratiba yao kama walivyoiweka.
sijui kama nimekujibu mdogo wangu?