Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
.
Mi sijasoma mwenge ila nawashikaji wamesoma pale ni wazuri sana wote wamepata kazi private schools tena waliinterview kabisa ni chuo kizuri wengi wanakiunderestimate ila ukilinganisha na duce, sijui udsm bado mwenge wapo juuchuo bovu lile
chuo bovu lile
Siyo kweli mwecau nakifahamu. Kuna wafanyakazi wenzangu wamesoma hapo, nina ndugu yangu pia anasoma hapo education science na nimekitembelea pia.chuo bovu lile
Hivi we ndiyo yule alikuwa anatumia ID "Mwaj Waukweli" au!.......
kwanini
Hiki chuo hapana jamani!!
*tuwe wakweli
Daaah jaman mbona tunatishana sasa mm nimechaguliwa hapo vp mambo ya bata yapo hapo au........
Kama nilivyosema Mimi Nina ndugu yangu yupo mwecau anaingia mwaka wa pili. Kwa wanaofahamu zaidi, je masharti ya kufanya registration yakoje? Maana anategemea fedha za mkopo wa bodi ambazo Mara nyingi huwa zinachelewa kutoka. Je anaweza kuruhusiwa kufanya registration kabla hajalipa chochote na aje kulipa bodi wakileta pesa? maadam Mwajuma karibu na wengine mnaofahamu naomba kufahamishwa.