Kuna tofauti kubwa ya Tanzania na nchi nyingine zinazotuzunguka, mfano jiji la Mombasa au hata Nairobi kuna matatu za serikali, kwa sababu wana ruzuku ya serikali basi huwa zinapuyanga barabarani kila baada ya 10mins.
Unaweza kuliona matatu linakuja na ndani kuna abilia mmoja na likifika kituoni ni 30sec to minutes linaondoka haijalishi kapanda mtu au hajapanda.
Nadhani hii kitu hata ulaya ni hivyo, ila sisi UDART wanajua wanachowafanyia watanzania.