Ee bwana tunaibiwa mbaya kabisa. Kuna siku niliweka elfu kumi nikaenda mara sita hela ikakata sikujali sana ila leo nimethibitisha. Tunaibiwa sana.We ndo umekutana nayo leo ? Hiyo ipo sana na kwenye voucher za simu ndo mbaya zaidi !
Sent using Jamii Forums mobile app
Ee bwana tunaibiwa mbaya kabisa. Kuna siku niliweka elfu kumi nikaenda mara sita hela ikakata sikujali sana ila leo nimethibitisha. Tunaibiwa sana.
tatizo ticket unaweza kutana na foleni, ila kama hamna foleni ni kutumia ticket tu.
na hili lisaa uwe mzima kama mgonjwa utajuta, sijui kwanini viti waliweka kimara mwisho, kivukoni na gerezani.Imebidi nirudi kutumia tickets,
Hivi na kwanini hawa wadai nauli ya 650 zaidi ya dala dala ya kawaida 400, kwani hii siyo daladala kwanini wao wanachaji zaidi.
Huduma zao jinsi siku zinavyozidi kusonga zinazidi kuwa mbaya, unakaa kituoni dk 40, hakuna gari na likija limejaa hamna pa kusimama,
Walipoanza walitangaza kila baada ya dk 5 patapita gari. Sasa mwendo kasi imeshakuwa hovyoo, watu wanakaa kituoni saa nzima wamefungiwa kwenye mabanda hayo hamna gari.
....sisi Wengine tuligundua kitambo Wizi wa hao jamaa tukaachana nazo....kwahiyo kama nawe unapinga Wizi Ungana nami kutumia Tiket kila unatumia Mwendokasi kama hutaki basi achakulalamikaJamani nimeweka 5,000/= kwenye kadi ya mwendokasi nimepanda gari mara nne tuu. Inaniambia ' insufficient balance'
Tuungane kupinga huu wizi.
Hakikisha kabla hujaondoka soma vizuri kwenye risiti wameweka sh ngapi na salio lako sh ngapiJamani nimeweka 5,000/= kwenye kadi ya mwendokasi nimepanda gari mara nne tuu. Inaniambia ' insufficient balance'
Tuungane kupinga huu wizi.
Kunapoendea utazikumbuka dalalaImebidi nirudi kutumia tickets,
Hivi na kwanini hawa wadai nauli ya 650 zaidi ya dala dala ya kawaida 400, kwani hii siyo daladala kwanini wao wanachaji zaidi.
Huduma zao jinsi siku zinavyozidi kusonga zinazidi kuwa mbaya, unakaa kituoni dk 40, hakuna gari na likija limejaa hamna pa kusimama,
Walipoanza walitangaza kila baada ya dk 5 patapita gari. Sasa mwendo kasi imeshakuwa hovyoo, watu wanakaa kituoni saa nzima wamefungiwa kwenye mabanda hayo hamna gari.
Tatizo tz hatutengenezi utawara bora ila kujifanya mtawara boraWe ndo umekutana nayo leo ? Hiyo ipo sana na kwenye voucher za simu ndo mbaya zaidi !
Sent using Jamii Forums mobile app