Mwendokasi kupanda tunagombania, kunayofauti gani na daladala za kawaida.
Hadi huruma kwa wazee, maana hawawezi kugombania na mwisho wa Siku wanakuwa wanyonge na kuchelewa kule waendako, na hata wakibahatika kuingia hawakai, cha ajabu kijana ndo amekuwa mzee na kuwahi kukaa.
Hapo katika kugombania hasara pia zinatokea, wizi, uvunjaji wa vitu vya thamani kama simu, laptop, nk.
Kwa maeneo kama Morocco, Kmr mwisho, gerezani, na kivukoni. Kumekosa kuwa na utaratibu wa kupanda haya mabasi. Mbona nikiwa naenda mbezi na panda kwa foleni.? Inashindikana vip kwa maeneo hayo mengine.?