Habari nyingi miaka na hasa siku za karibuni ni ajali na vifo vinavyotokana na ajali na sababu kubwa ni mwendo kasi. Hivi kwani waendesha magari wanakimbilia wapi? :A S 13:
Ni kweli...madereva wengi wanapenda kukimbia sana wakati magari na barabara zetu si nzuri....ninashauri mtu usizidi speed 120 highway maana kwa speed hiyo angalau unaweza kucontrol gari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.