kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,624
- 1,826
Haya mabasi yanaboa sana toka kuanza kwa sikukuu imekua kero kwa wasafiri wa haya mabasi vituo vimejaa mabasi machache likija mnaminyana mpaka unaisi kupoteza maisha.lingine hivi kama mtu anaumwa marazi ya kuambukiza inakuaje.kama wahusika mmo humu njooni kimara mujionee mnatutesa ruhusuni dsm zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
