Mwendo huu sidhani kama tutafika, tukipishana jambo kidogo tu kasusa

He he he he, hajayajua huyu, labda anayabip.

Ngoja nikabwie libwata mie kwa hiari.

 
Last edited by a moderator:

mmmh... loveissweet
 
Last edited by a moderator:

Hujazoea nini sasa?
 
Labda na wewe uko sensitive sana! mpotezee! wanawake ndivyo walivyo! Yaani wanawake ni babies in a big body structure! Ni hayo tu
 

Eh bhana kweli Smart911 sa hivi habari iko njema,nakula mema ya nchi tu...Asante kwa hii tip it has worked like charm!
 
Last edited by a moderator:
Mleta uzi nimekuelewa sanaaa.Nimepita katika kipindi hicho na maamuzi yangu nikapiga chini na nimefanikiwa.
guasa kupiga chini mkuu??? Apo kwa mie uongo dhambi...Siwezi kufanya hivyo dogo ntamnyoosha tu as time goes on na kwanza kashaanza kuelewa uongozi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…