Mwendesha Gari ya kuazima utamjua tu!

Mwendesha Gari ya kuazima utamjua tu!

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,993
Reaction score
12,041
ZIFUTAZO NI DALILI ZA MTU
AMBAYE
ANAENDESHA GARI YA KUAZIMA
(SIO YAKE)
1 Anaendesha kwa speed misele misele kibaoooo.
2 Anashika stelingi na mkono
mmoja mwingine nje ya mlango
3 Kumsalimia kila anayepishana naye hata kama hamjui
4 Kwenda na gari kwenye harusi halafu
anaipark vibaya ili atangazwe
(mwenye gari namba T. AZM...akatoe gari yake)
5 Kutoa kichwa hadi kifua nje
wakati wa kurudi nyuma wakati side mirrors zipo.
6. Mafuta anaweka ya 5,000/-5,000.
7. Akifika kwa washkaji lazima atumbukizie mada ya gari utasikia 'nataka nijaze kiwese niende kwa Temba pale kati'
ONGEZA NYINGINE 😀😀😀 si ununue lako kaa unataka sifa eboo
 
Kushusha vioo hata kama gari lina air condition.
Kupita barabara mbovu bila uangalifu.
Kubeba demu kwenye gari na kupita nae mitaa ya vijiweni
 
ZIFUTAZO NI DALILI ZA MTU
AMBAYE
ANAENDESHA GARI YA KUAZIMA
(SIO YAKE)
1 Anaendesha kwa speed misele misele kibaoooo.
2 Anashika stelingi na mkono
mmoja mwingine nje ya mlango
3 Kumsalimia kila anayepishana naye hata kama hamjui
4 Kwenda na gari kwenye harusi halafu
anaipark vibaya ili atangazwe
(mwenye gari namba T. AZM...akatoe gari yake)
5 Kutoa kichwa hadi kifua nje
wakati wa kurudi nyuma wakati side mirrors zipo.
6. Mafuta anaweka ya 5,000/-5,000.
7. Akifika kwa washkaji lazima atumbukizie mada ya gari utasikia 'nataka nijaze kiwese niende kwa Temba pale kati'
ONGEZA NYINGINE 😀😀😀 si ununue lako kaa unataka sifa eboo

c bure wewe lazima utakuwa comedian! Huwezi ukanifanya nicheke mpaka wenzangu wanishangae
 
Gari ni kitu cha kawaida sana... ila kuna watu washobokea magariiii... mpaka inakera!!!
 
Hivi gari ni kitu cha thamani sana au?

Huenda, kwa sababu miongoni mwa vitu/ assets vya thamani mtu anaweza kumiliki hapa Tz ni nyumba, gari labda na ardhi kwa hiyo a vehicle is probably one the most expensive assets a common mwananchi owns
 
kuja kuanzisha mada jf ya magari baada ya yeye kuwa kaendesha gari ya kuazima
 
1.Kuwasha taa full.

2.Kufungulia mziki mpaka gari inanesa.

3.Kulalama hovyo trafiki wanapokea rushwa,maana hukuwa na kahera ka ziada kwenye misele yako na wamekachua hako hako.

4.Ukigongwa unashuka na kuanza kufoka,hutaki suruhisho lolote.

5.Kupiga piga honi hovyo,na maishara mengi ya mikono kuonyesha unawahi.
 
Kutokuwa na safari maalumu ya wapi unaenda unazunguka zunguka tu mitaani

#Zitto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom