Mwendazake ni marehemu

Mwendazake ni marehemu

Nyie wabongo ni aje kutu discuss wa Kenya ati hatujui kiswahili, hizi mambo zilianzia huku kwetu kama mlikua hajui,
 
Hiace wanaziita matatu na mabasi makubwa wanayaita masita... Basi mimi nikajiwazia lazima coaster zinaitwa manne
 
Back
Top Bottom