Mwema alitishia sana kwamba ana orodha ya "wazungu wa unga", na kudai kwamba karibu ataitoa hadharani bila kujali vyeo vyao. Nikajiuliza kwani mkuu wa polisi akiwa na orodha ya wahalifu anatoa vitisho kwanza au anawashughulikia tu?!! Iko wapi?
Leo Mwema yule yule anatishia kuwashughulikia mafisadi wa EPA. Sidhani kama Mwema ana ubavu huo. Anajifurahisha tu na kudanganya toto ili watu wasahau. Kaishafundishwa siasa za kibongo kwa hiyo anatuchora tu - sidhani kama kuna kitu hapo. Kama kuna lolote tungekwishaliona. Hii ni sehemu ile ile ya network ya ufisadi tu.
Mwema alitishia sana kwamba ana orodha ya "wazungu wa unga", na kudai kwamba karibu ataitoa hadharani bila kujali vyeo vyao. Nikajiuliza kwani mkuu wa polisi akiwa na orodha ya wahalifu anatoa vitisho kwanza au anawashughulikia tu?!! Iko wapi?
Leo Mwema yule yule anatishia kuwashughulikia mafisadi wa EPA. Sidhani kama Mwema ana ubavu huo. Anajifurahisha tu na kudanganya toto ili watu wasahau. Kaishafundishwa siasa za kibongo kwa hiyo anatuchora tu - sidhani kama kuna kitu hapo. Kama kuna lolote tungekwishaliona. Hii ni sehemu ile ile ya network ya ufisadi tu.
Sasa ndugu zangu hivi ni kiongozi gani wa ngazi za juu katika taasisi zote za serikali we can say ni msafi na yupo kwa ajili ya watu?
Kwa mtazamo wangu ni kama hakuna hata mmoja, cause every one ukimpekuapekua anaonekana na makandokando fulani hivi lakini hayo makandokando yanatofautiana kwa viwango! e.g nikimwangalia na kumpekua Mwema na kumlinganisha na IGP aliye pita, he looks far better and intelligent, vile vile ukiwaangalia watu wa mahakamani they are not all 100% perfect kuna uozo etc. Sitaki kumtetea Mwema, but 2 me this guy has a sense of humanity ukilinganisha na viongozi wetu wengine (anyway ni maoni yangu)
Nilimwamini Mwema .Nilimpigia simu kumpa pongezi na tunajuana na nilitegemea achape kazi kama kule nairobi na alivyo kuwa na vyeo vya chini siku za nyuma .Kweli Mwema umeacha wema na kutumaliza tulio kuamini na kukuombea ? Unalipa fdhila za bwana mkubwa ?
Murangira,
Very good! Ebu tusaidie kitu kimoja kwa kukuwa unamfahamu! Je ni ufisadi gani unaofahamu mpaka sasa ambao Mwema amefanya zaidi ya kuonekana zaidi kuwa kibaraka wa JK? Mi nacho fahamu ni malipo ya kitu kama 100mil alizopewa kama fidia ya nyumba yake kule K/nyerezi kupisha ujenzi wa barabara, ukweli barabara ile ilimfuata ili apewe hela hiyo! More than this, sina any facts! This guy looks clean on the face!
Festo
The man is clean ila ubaya ni kwamba anafuata maamuzi ya JK kama Rais na pia kama shemeji yake so lazima kumlinda .Kapenwa nafasi ile akiwa na sifa achilia mbali ushemeji ila sasa kwa kuwa Shemeji ni mchafu anamlazimisha na Mwema kuonekana wa ajabu but he is a very smart man kibaya ni kwamba kaingizwa katika Siasa.Kote anawekwa kuhakikisha maslahi ya JK so isn hard for him to perform .He is not a free IGP .
Festo
The man is clean ila ubaya ni kwamba anafuata maamuzi ya JK kama Rais na pia kama shemeji yake so lazima kumlinda .Kapenwa nafasi ile akiwa na sifa achilia mbali ushemeji ila sasa kwa kuwa Shemeji ni mchafu anamlazimisha na Mwema kuonekana wa ajabu but he is a very smart man kibaya ni kwamba kaingizwa katika Siasa.Kote anawekwa kuhakikisha maslahi ya JK so isn hard for him to perform .He is not a free IGP .
e.g nikimwangalia na kumpekua Mwema na kumlinganisha na IGP aliye pita, he looks far better and intelligent, vile vile ukiwaangalia watu wa mahakamani they are not all 100% perfect kuna uozo etc. Sitaki kumtetea Mwema, but 2 me this guy has a sense of humanity ukilinganisha na viongozi wetu wengine (anyway ni maoni yangu)
Mtaalamu Festog,
Kupima sifa za uongozi za Mwema kwa kumlinganisha na "IGP aliyepita" ni sawa na kupima utakatifu wa mtu kwa kumlinganisha na Ibilisi.
March 16, 2008 @00:04
THE Tanzania Railway (TRC) guys have just done it. They went on strike. Trains stopped and hundreds of people suffered. But it just makes sense. Successive governments in Bongo have been having this mentality. Governments have been pretending to pay people and the people have been pretending to work.
Now the Tanzania Railway guys have shown their two fingers to their bosses and told them to stuff it. The thing is we are grossly being underpaid. The only job which is worth its name is being a politician. Now the thing is we cannot all be politicians. Imagine 40 million Tanzanians – all politicians. All pretending to be Jack Mrisho. Smiling like Cheshire cats. It's impossible! Me, for example. The last time I smiled and had a photograph of me taken was with my daughter. The picture came out and I looked like I was a serial killer. Mean like hell! I like to act. Do things. They speak louder than words. TRC has just done it. They have acted. The pay went up from 96,000 to 160,000. The guys got results. Period! Words have been said for ages that we need a mean and lean government.
But the government has done nothing. You find some guy in a tatty government office ‘working' and smiling. He spends most of his time trying to ‘eat' from that office. So the guys have resorted to age-old methods. They cut corners at will. They ‘eat' from their offices. You don't think so? Where do you think the EPA monies started disappearing then? They trail from Ikulu. That's why the names are hard to get. I understand the hick-ups from AG Johnston Mwanyika and company. But we know them. They are in the internet. So who is next after TRC? What if the Tanesco guys decide that enough is enough? This could be next to hell. No electricity, because Tanesco workers have decided not to take shit from a bunch of vermin called IPTL, Songas, Richmond, Kiwira and others. I won't mind.
I have bought a supply of candles which even a decent Church will envy. I have also bought enough kerosene to light up the National Stadium for a night football match. So no worries. What if us hacks go on strike? No newspapers! I know what will happen. AG Johnson Mwanyika will take his wife for a sumptuous dinner. Braza Saidi Mwema, chief of the cops will throw a party for being let off the hook. After all, there won't be the eyes of the press there. Braza Mwema said tough words at the recent press conference. He likened the bank robbers at the BoT to terrorists and added that the robbery irked even the entire robbery committee, made up of himself, AG Mwanyika and Ted Hosea of the anti-corruption team. We are waiting for the results. But we know the thugs. The names are in the internet. We just want them to be publicised and prosecuted. Fair is fair!
Humu jf nadhani umefika wakati tunapaswa kutofautisha maana ya neno ufisadi na kutowajibika ipasavyo au uvivu.Kuna baadhi ya watu serikalini wao sio mafisadi kwa maana tunayoijua bali wameshindwa kuwajibika kwenye nafasi zao hali inayosababisha mafisadi watumie mwanya huo kucheza dili zao.Kutowajibika huku kunatokana na hofu waliyonayo kuhusu kutumia madaraka yao ipasavyo au incompetence.Mwema aweza kuwakwenye mojawapo ya hili.
..yes, true story.Kwa kuongezea tu ni kuwa imekuwa too much the word ufisadi yaani maana halisi mpaka sasa siielewi maana kuna mpaka ufisadi wa ngono...so which is which!!! Wahusika pls mfanye major clarification hapa JF ili mijadala iwe haitoki nje ya boundaries zake!!