Mwekezaji wa shirika la UDA kukamatwa na kufilisiwa!

Haloo wacha kuleta ugoro wako hapa. Ati nini?? Story over?? Watu wanaiba mchana halafu unasema ati story over? Wewe pamoja na wao lazima tuwapeleke jela tu. Nasema tena mtaenda jena hakuna cha story over hapa!!!! Kuna timu inafanya kazi mchana na usiku,,, hata muwe mnakungiwa kifua na rais au mwanae LAZIMA MUENDE JELA TU!!! Zama hizi ni zama nyingine kabisa.... jitayarishe na kama ni ndugu yako mtayarishe....
 
Hii nayo ni kazi iliyofanyika awamu yetu hii ya wachapakazi hodari,lol!
 
Hili la mtikila nalo neno linahitaji kuzingatia maslahi ya umma..... kumbe mzee bado yupo ...nilidhani RIP
 
.

Huo ni utetezi ambao haukubariki mbele ya chombo chochote cha sheria... mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wanavunja sheria ya nchi.... mvunja kanuni na mvunjishwaji kanuni wote wana makosa kwa kupeleka fedha kwenye akaunti ya mtu binafsi.
 

sensa hii ni ya mwaka gani? naona wamekukuna upele unaibuka na sensa bandia............kutoa takwimu ambazo hujatuambia chanzo chake nalo ni kosa la udanganyifu.
 

Unaweza ukamgombania kila mtu vile hujui nini kinaanza kama yai na kuku, lakini ukweli wa mambo na ktk dunia ya structured approach, mwenye makosa makubwa ni yule ulompa dhamana akaichezea, akakusaliti, ni kama kwenye ndoa usigombane na mtu anayemla mkeo, gombana na mkeo maana ndo mwenye dhamana. Tukihakikisha kuwa tunaowapa dhamana wanawajibika 100% au 99% tu, tatzo linalojirudia rudia tutakuwa limekwisha kwa asilimia hizo hizo.

Sasa Robert inawezakana alijua kuwa hawa watu wanahujumu nchi lakini yeye haikuwa kazi yake, na pengine asingejua undani wa ama kweli au si kweli; utawala wa kuheshimiana yeye akafanya kazi yake kwa maelekezo ya viongozi halali wa UDA; kama waliwaibia wananchi, kamati za checks and balance ndo sehemu yake haswa. So i give robert the benefit of doubt, which also does not mean hana makosa hata kidogo.

TUMELEGEA SANA KWA WATU TUNAOWATUMA WATUTUMIKIE, wanalipwa fedha hawafanyi kazi yao; Jamaa ambao wanajaribu kuexploit huo udhaifu wetu, tunawachukia sana, NAKWAMBIA ni hulka ya binadamu wote kuexploit loopholes, wala sio ya robert. Kama hukuexploit UDA, haina maana hujaexploit popote, hata kusomea fani ambayo ni demanding ni kiexploit loopholes ili uje ufaidi. hata kufungua duka ni kuexploit loopholes, hata kuoa na kuolewa ni hivyo hivyo kuexploit loopholes. So it is human nature, we can not blame robert mpaka ithibitishwe dhamana ipi tuliyompa kuhusu kulinda maslahi ya UDA ambayo ameikiuka.

Watu wanaexploit loopholes za kodi, kweli wanakwepa kodi lakini mbona hawafungwi??? serikali inachofanya ni kuziba hizo loopholes pale inapoziona kuwepo; mfano ni kufuta mpango wa fedha ya nyumba kutolipiwa kodi, na hivyo fedha yote inakatwa kodi. Maana wabongo mshahara 120,000/- kodi ya nyumba 600,000/- vile tu ilikuwa haikatwi kodi. So serikali ziba loopholes kama zipo, waliopewa dhamana kama walifanya vivyo isivyo PELEKA MAHAKAMANI.
 
sensa hii ni ya mwaka gani? naona wamekukuna upele unaibuka na sensa bandia............kutoa takwimu ambazo hujatuambia chanzo chake nalo ni kosa la udanganyifu.

Kwenye hesabu hoja huwa ni kuprove; unaweza ukaomba tuprove au kama uko fit kichwani ukatoa counterprooof. So omba kimoja kifanyike acha kulalama; Harafu one thing has to be clear, simtetei mtu hapa, leo hata kesho hakuna. NACHOJARIBU KUKIINGIZA KICHWANI MWA MTANZANIA NI KWAMBA Hawa tunaowapa dhamana TUWAFUNDISHE ADABU KWANZA kabla ya kupanua wigo.
 

Tangu uhuru Tanzania haijawahi kufanya sensa ya udini,,,,,,, Nyerere alikataa hili kuwekwa kwenye sensa ni nani alihesabu watanzania kwa dini zao bila tunaohesabiwa kujua??????????? ni udaku kutumia takwimu za mtu yoyote.
 
wapi sasa hi
 
Duh, ukisikia time will tell ndio hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je IDD SIMBA , RIDHIWANI NA MASABURI WATATAJWA ? Hili jambo tumelipigia kelele muda mrefu sana ila tulipuuzwa , hatutaki ashughulikiwe Kisena pekee
 
Je IDD SIMBA , RIDHIWANI NA MASABURI WATATAJWA ? Hili jambo tumelipigia kelele muda mrefu sana ila tulipuuzwa , hatutaki ashughulikiwe Kisena pekee
Hawa ndo nataka wachomolewe wazi kweupee! Tutajua hata ulanguzi wao wa vyeo vilivyokuwa vinauzwa.
 
KABURI LIMEFUKULIWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…