macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,448
- 38,687
Haloo wacha kuleta ugoro wako hapa. Ati nini?? Story over?? Watu wanaiba mchana halafu unasema ati story over? Wewe pamoja na wao lazima tuwapeleke jela tu. Nasema tena mtaenda jena hakuna cha story over hapa!!!! Kuna timu inafanya kazi mchana na usiku,,, hata muwe mnakungiwa kifua na rais au mwanae LAZIMA MUENDE JELA TU!!! Zama hizi ni zama nyingine kabisa.... jitayarishe na kama ni ndugu yako mtayarishe....Pamoja na kwamba kuna dosari hapa na pale ktk kutoa UDA lakini swali ni kwamba angepewa mzungu kama ambavyo wamepewa sehemu nyingi tu, mngelelamika wafungwe??? migodi mbona mmenywea? walinzi wenye dhamana ya mali/UDA ndo wakamatwe wajibu mashitaka sio mtu aliyekuja mchana kweupe; kama waliona tapeli wangekataa asinunue, kama waliomba rushwa sisi wtz ndo tuwaajibishe; unakumbuka walimpa barua wakisema aweke fedha hizo kwenye akaunti xxxx ambazo ni yao; sasa yeye kama mnunuzi kazi yake ilikuwa kulipa na kupata UDA, alilipa kama alivyoelekezwa na mliowapa dhamana na alipewa UDA. Story over.