mmh JF-Expert Member Nov 9, 2010 2,910 5,081 Dec 27, 2010 #21 Watauwa watu innocent bila sababu ya msingi, watumie mbinu ambazo ni fair, lakini watu wanashabikia tu bila kutafakari.
Watauwa watu innocent bila sababu ya msingi, watumie mbinu ambazo ni fair, lakini watu wanashabikia tu bila kutafakari.
Ndachuwa JF-Expert Member Mar 8, 2006 6,269 4,569 Dec 27, 2010 #22 BONGOLALA said: Atachapisha pesa zake! Click to expand... Hii nayo point kama Region's Central Bank haihusiki katika mchakato wa kuchapicha note
BONGOLALA said: Atachapisha pesa zake! Click to expand... Hii nayo point kama Region's Central Bank haihusiki katika mchakato wa kuchapicha note