Mwapachu aliahidiwa Uwaziri wa Mambo ya Nje na Lowassa, Sumaye na Kingunge nanyi mliahidiwa nini?

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
Wadau tulikuwa tunasema Lowassa anatembea na vyeo mfukoni wakati wa uchaguzi mkuu 2015 watu wakabisha, sasa tumeona Balozi Mwapachu kamwaga mboga kwa jinsi alivyofunguka juu ya rafiki yake Lowassa kuwa alihaidiwa uwaziri wa mambo ya nje.

Tunawasuburi wengine nao wafunguke kina Kingunge na Sumaye nao watwambia walihaidiwa nini na Lowassa mpaka ikafikia hatua ya kujichetua namna ile ambapo walisema CCM haikufanya lolote kwa miaka yote wakati walikuwa viongozi waandamizi ndani ya chama na serikali.

Mabadiliko ya kuzungusha mikono yameshindikana, sasa ni wakati wao kufunguka bila aibu watanzania tutawasamehe tu

Nawasilisha
 
Wadau tulikuwa tunasema Lowassa anatembea na vyeo mfukoni wakati wa uchaguzi mkuu 2015 watu wakabisha, sasa tumeona Balozi Mwapachu kamwaga mboga kwa jinsi alivyofunguka juu ya rafiki yake Lowassa kuwa alihaidiwa uwaziri wa mambo ya nje.

Tunawasuburi wengine nao wafunguke kina Kingunge na Sumaye nao watwambia walihaidiwa nini na Lowassa mpaka ikafikia hatua ya kujichetua namna ile ambapo walisema CCM haikufanya lolote kwa miaka yote wakati walikuwa viongozi waandamizi ndani ya chama na serikali.

Mabadiliko ya kuzungusha mikono yameshindikana, sasa ni wakati wao kufunguka bila aibu watanzania tutawasamehe tu

Nawasilisha
hapa kazi tu. hayo mengine majungu maana uchaguzi umepita, unawatakia nini watu wasiokuhusu,kila mtu ana haki ya kuwa na itikadi ya chama anachotaka. si dhambi
 
Wadau tulikuwa tunasema Lowassa anatembea na vyeo mfukoni wakati wa uchaguzi mkuu 2015 watu wakabisha, sasa tumeona Balozi Mwapachu kamwaga mboga kwa jinsi alivyofunguka juu ya rafiki yake Lowassa kuwa alihaidiwa uwaziri wa mambo ya nje.

Tunawasuburi wengine nao wafunguke kina Kingunge na Sumaye nao watwambia walihaidiwa nini na Lowassa mpaka ikafikia hatua ya kujichetua namna ile ambapo walisema CCM haikufanya lolote kwa miaka yote wakati walikuwa viongozi waandamizi ndani ya chama na serikali.

Mabadiliko ya kuzungusha mikono yameshindikana, sasa ni wakati wao kufunguka bila aibu watanzania tutawasamehe tu

Nawasilisha

Wakati mwingine jaribu kusumbua ubongo wako kidogo.... Yaani we ukisikia kitu unabeba kama kilivyo... Sasa angekuambia kwamba alihadiwa kuja kulala kwenu chumbani ungeamini.... Au
 
Wakati mwingine jaribu kusumbua ubongo wako kidogo.... Yaani we ukisikia kitu unabeba kama kilivyo... Sasa angekuambia kwamba alihadiwa kuja kulala kwenu chumbani ungeamini.... Au
hahahahaaa alafu chumba cha mama yake lol
 
hapa kazi tu. hayo mengine majungu maana uchaguzi umepita, unawatakia nini watu wasiokuhusu,kila mtu ana haki ya kuwa na itikadi ya chama anachotaka. si dhambi
UKAWA bye bye,
Naona sasa mmeshaachana na "mabadiliko lowasa lowasa mabadiliko,badala yake naona tuko pamoja na hapa kazi tu".
 
Siku ya kukosa ni kukosa tu Ukawa Zenj kaangukia pua , sharubu zinapunzikia sheraton , hogera Rashid tuko pamoko
 
Wakati mwingine jaribu kusumbua ubongo wako kidogo.... Yaani we ukisikia kitu unabeba kama kilivyo... Sasa angekuambia kwamba alihadiwa kuja kulala kwenu chumbani ungeamini.... Au

Watu wanajiongelesha tu mkuu. Badala ya kucheza ngoma yao, wapo kwa jirani.... Huyo Lowassa angewapa wangapi vyeo?????????

Na kwanza MWAPACHU MWENYEWE MWEHU.... Sasa kama alihama kwa ahadi ya cheo si anajiona kuwa hana hadhi sasa????? Mtu mwenyewe hana impact wala hama yake haikutikisa.
 
Huyu mzee nlimshangaa yaani alikosa cha kusema...nlijisikia aibu sana mbele ya wanangu..kwamba pamoja na kuishi na kifanikiwa kitaaluma na reputation kubwa aliyo nayo bado ni mchumia tumbo....sio mfano mzuri kabisa...sasa kama yeye bado anagombea teuzi, vijana kina Makonda waende wapi? Aibuuuuùuu
 
Nnadhani nimekuja kuelewa kwanini vijana wanaamua kuwafua hawa wazee....wanawayumbisha wenzao badala ya kuwaongoza.....
 
Kwa Taarifa tu. Hawa walipelekwa huko kwa kazi maalum kama jamaa angechukua Taifa:-

Waziri Mkuu-Nchimbi
Waziri wa Maliasili- Lembeli
Waziri wa Mambo ya Ndani-Masha
Waziri wa Jinsia na Watoto - Bulaya
Spika wa Bunge Sumaye
Katibu Mkuu Ikulu- Mama Sinare
Mwapachu-Mambo ya Nje

Wadau tulikuwa tunasema Lowassa anatembea na vyeo mfukoni wakati wa uchaguzi mkuu 2015 watu wakabisha, sasa tumeona Balozi Mwapachu kamwaga mboga kwa jinsi alivyofunguka juu ya rafiki yake Lowassa kuwa alihaidiwa uwaziri wa mambo ya nje.

Tunawasuburi wengine nao wafunguke kina Kingunge na Sumaye nao watwambia walihaidiwa nini na Lowassa mpaka ikafikia hatua ya kujichetua namna ile ambapo walisema CCM haikufanya lolote kwa miaka yote wakati walikuwa viongozi waandamizi ndani ya chama na serikali.

Mabadiliko ya kuzungusha mikono yameshindikana, sasa ni wakati wao kufunguka bila aibu watanzania tutawasamehe tu

Nawasilisha
 
Nani anayo speech halisi ya Mwapachu aliyosema hayo ya kuahidiwa vyeo? Ni lini Mwapachu alijiunga chadema au chama chochote kile cha ukawa?
 
Back
Top Bottom