Lowassa, Sumaye, Kingunge, Masha na wengine wawe somo kwa viongozi wa taifa hili

Mar 17, 2016
193
188
Baada ya uchaguzi kumalizika na Uncle John kufanikiwakushika hatamu kupitia wanakijani.Hoja nzito iliyopo mbele ya wanasiasa na watanzania kwa ujumla ni katiba mpya.
Na ktk harakati hizo, CHADEMA ni moja ya kundi litakalokuwa mstari wa mbele. Watakuwa wakidai katiba ileee ya Warioba.Katiba ambayoLowassa,Sumaye,Kingunge na Masha waliipinga kwa nguvu zote kwa sababu tu walikuwa Chama cha Mapinduzi japo walijua umuhimu wa mapendekezo Yale ya Warioba.
Waliyapinga maoni ya wayanzania, wakamuruhusu Nyoka mwenye makengeza akayachezea.
Hawa ni miongoni mwa viongozi wandamiz waliokuwa naushawishi mkubwa hivyo maoni yao yalikuwa na uzito mkubwa.
Bahati nzuri hawa niliowataja sasa wapo upande wa pil nawameshiriki uchaguzi mkuu wakiwa huku, wameonja radha ya kuwu upande wa huku wamejionea jinsi sheria za uchaguzi zisivyotoa uwanja sawa kwa vyama vyote.
Lowasa sasa anaami angelipambana ikapatikana tume huru pengine Leo angekuwa rais( ndio maana alikuwa na watu wa kutosha tu japo Mimi ni kati ya watu waliomkataa kwa sabb nizijuazo mm na ktk kutimiza haki ya kidemocrasia lkn ukweki utabaki kuwa alikinukisha).
Kosa la Lowassa na wenzake wkt ni kuwa wkt ule waliangalia masihi yao, hawakuangalia masirahi ya watu wote kamaWarioba alivyokuwa ameanagalia.walikuwa watoto waliodekezwa ndani ya Chama wakarithi ubabe, wakawaona wapinzani hawana maana, wakapitisha sheria kandamizi kwa wapinzani na wkt mwingine wakaviamuru vyombo vya usalama kuwashughulikia akina Slaa, Rwakatare na wengine wengi.
Sasa naamini wameliona kosa lao, sasa watakuwa mstari wa mbele kupambana ili ipatikane katiba yenye masirahi kwa watanzania wote.
Naamini watafanya hivyo sio kwa kuwa wapo CDM bali kwakuwa wanajua sasa kwenye vyama wanapita tu ila masirahi ya taifa ni mhimu na pengine kesho wanaweza kuwa ACT au TADEA.
Hivyo watapambana ili ipatikane katiba inayotoa haki sawa kwa watanzania wote bila kujali wanakotoka, imani zao na ikikadi zao.Watafanya hivo sio kwakuwa wapo CDM Bali kwakuwa wamehifunza kitu.
Wakati wakifanya haya werevu wachache kutoka CCM watawaunga mkono, ila wajinga wengi watawakebehi.
 
1463328708519.jpg
1463328754031.jpg
 
Hoja yako ulipaswa uilete miezi ya 11 mpaka wa 3... Kidogo Palikuwa na joto la uchaguzi
Vuguvugu la mabadiliko limeshakufa rasmi
Hii ni Baada ya Watanzania wazalendo kugundua hila za mbowe na kundi lake kujaribu kuwapa waizi ikulu yetu

Sasa ivi ni mwendo wa hapa kazi tu


Kukumbusha wewe na wengine ni kuwa mahakama ya mafisadi inakuja ambapo DPP atapeleka Mashauri yote inaanza kazi julai mwaka huu... Walioliibia taifa wa jiandae
CCM oyeeeeee
Nisitoke nje ya maada kuhusu katiba mpya ni lazima iwepo na hata magufuli yupo tayari mchakato utaanza ulipoishia na juzi lubuva alizungumzia hio ishu.. Hivo tusiwe na wasiwasi na tuachane na Matapel hao uliowataja
 
Hakuna katiba nzuri kama iliotupatia uncle John na kufanya nchi isiangukie mikononi mwa genge la mafisadi...
 
Senti kayumba mkuu, nimeishia la 2 ulipaswa unipongeze kwa kidogo hicho. Japo na ww umeweka kiulizo kimakosa kwenye kiswahili chao watakueleza, hoja ina umuhimu inategemea na uwezo wako wa kuchambua hoja.
 
Hakuna jipya ni Mbwe mbwe tu !!

Hiivi toka 1995 2005
2o15
hadi 2020

Tanzania inakuwa inaogozwa Na watakatifu au Mafisadi
Hao
unaowasema?
Kwani waliobakia si watuhumiwa wa ufisadi walewale ndo unajivunia eti bora wao?

Hali zenu ni mbaya!
 
Mkuu kama utakuwa umesoma vzr nilichoandika hakuna sehemu nimesema mm ni chama gani, nimeweka wazi kuwa sikumpigia kura Lowassa.
Mimi nadhani we na mwenzako huyo if you are educated enough as you are implying here jadilini hoja, kama imewabore just give it a bullshit na kama imewazidi kimo mnapotezea tu.
 
Mkuu kama utakuwa umesoma vzr nilichoandika hakuna sehemu nimesema mm ni chama gani, nimeweka wazi kuwa sikumpigia kura Lowassa.
Mimi nadhani we na mwenzako huyo if you are educated enough as you are implying here jadilini hoja, kama imewabore just give it a bullshit na kama imewazidi kimo mnapotezea tu.
Tupo kwenye kipindi cha hapa kazi tu, kampeni zilikwisha pita, leta hoja nyingine hii imechacha
 
Mkubwa licha ya watu kukubeza, kwa upeo wangu una hoja. Hao uliowataja umetumia kama mfano kuonyesha kwamba imetupasa kusimamia haki na kujali maslahi ya wananchi bila kujali nafasi tulizonazo wakati huu.

Maamuzi yetu ya Leo yana madhara mbele ya safari, tuwe makini kusimamia sheria. Ukifanya maamuzi kwa miwani ya nafasi yako sasa hivi, kumbuka kuna jamii unaikandamiza, na huwezi kua unaweza kuja kua muhanga wa maamuzi mabovu kwa upofu wa kulinda maslahi binafsi ya sasa.
 
Hoja yako ulipaswa uilete miezi ya 11 mpaka wa 3... Kidogo Palikuwa na joto la uchaguzi
Vuguvugu la mabadiliko limeshakufa rasmi
Hii ni Baada ya Watanzania wazalendo kugundua hila za mbowe na kundi lake kujaribu kuwapa waizi ikulu yetu

Sasa ivi ni mwendo wa hapa kazi tu


Kukumbusha wewe na wengine ni kuwa mahakama ya mafisadi inakuja ambapo DPP atapeleka Mashauri yote inaanza kazi julai mwaka huu... Walioliibia taifa wa jiandae
CCM oyeeeeee
Nisitoke nje ya maada kuhusu katiba mpya ni lazima iwepo na hata magufuli yupo tayari mchakato utaanza ulipoishia na juzi lubuva alizungumzia hio ishu.. Hivo tusiwe na wasiwasi na tuachane na Matapel hao uliowataja
1463334184845.jpg
 
Back
Top Bottom